BLOGS

YATAMBUE MADHARA YA KUKOSA CHOO AU KUPATA CHOO KIGUMU (constipation)

Oct 31, 2023

369

Watu wengi hudhani ni hali ya kawaida kupata choo kigumu au kutopata

choo kabisa watu wengine siku nzima, siku mbili hadi siku tatu bila

kupata choo! Au wengine kupata choo kigumu. *USIPUUZIE HILO NI TATIZO

KUBWA SANA.


MADHARA YA KUTOPATA CHOO AU KUPATA CHOO KIGUMU NI KAMA:


♻️ BAWASILI

(haemorrhoids) kuota kinyama sehemu ya haja kubwa, hii ni kutokana na

kutanuka kwa mishipa midogo midogo ya damu kutokana na kutumika kwa

nguvu nyingi wakati wa kijisaidia pia hupelekea maumivu makali kwenye

njia ya haja kubwa.


♻️ KUPASUKA

kwa layer ya ndani ya njia ya haja kubwa (anal fissue)* na kusababisha

maumivu makali sana ni kutokana na matumizi ya nguvu nyingi wakati wa

kujisaidia


♻️ HUSABABISHA

MAGONJWA YA TUMBO* kuuma bila sababu, tumbo kuunguruma hii ni kutokana

na kinyesi kukaa muda mrefu tumboni bila kutolewa (choo kinachotembea).

Hili husababisha magonjwa mengi yanayotokana na bakteria.

ENDAPO utakaa na tatizo hili kwa muda mrefu hupelekea kupata ya tumbo kama vile:-

➖Kansa ya utumbo mpana

➖kuwa na kitambi kinachosababishwa na constipation

➖muda mwingine husababisha vidonda vya tumbo kutokana na gesi inayojitengeneza tumboni.


Maumivu ya mgongo UTI n.k


Kama unasumbuliwa na tatizo hili au vinginevyo tupigie au tuma ujumbe whatsapp kwa namba kwa ushauri na tiba

+255744 12 5275


Tiba zake